Pages

Friday, June 22, 2012

Maathimisho ya Sikukuu ya Mtoto wa Afrika Mwaka Huu Katika Viwanja vya Mwarieni.

Gody A Muro Mwakilishi wa Ubalozini House Of Talents akifuatilia kwa Makini tukio zima la sikukuu ya Mtoto wa Afrika ,Tukio linalofanyika kila mwaka tarehe 16/06. Tukio linalokumbusha waafrika unyanyasaji wa watoto uliokuwa unafanywa na Makaburu huko Afrika ya Kusini.

Monday, June 11, 2012

HAYA NI MAMBO YA UBALOZINI HOUSE OF TALENT !!


Haya ni Mambo ya UHT ubalozini house of talent na Movie Mpya ya MKUKI movie yenye maadili ya Kitanzania na yenye  Kufundisha na Kuburudisha. Itaanza kupatikana Madukani Punde Tu baada ya Kuzinduliwa !!